Mshambuliaji Jamie Vardy (kulia) akishangilia na Riyad Mahrez (kushoto) baada ya wote kuifungia Leicester City katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Chelsea mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa King Power. Bao la Chelsea lilifungwa na Loic Remy na sasa Leicester City inarejea kileleni mwa Ligi Kuu ikifikisha pointi 35 baada ya kucheza mechi 16, Arsenal yenye pointi 33 za mechi 16 pia, inateremka nafasi ya pili, wakati Manchester City ya tatu kwa pointi zake 32 na Man United inabaki nafasi ya nne kwa pointi zake 29, wote wamecheza mechi 16 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Two Bayern stars: the top ever-presents in world football
-
These gentlemen cannot complain about a lack of playing time. The CIES
Football Observatory recently examined the ever-present players in world
football ov...
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment