Eden Hazard wa Chelsea akimiliki mpira mbele ya beki wa New York Red Bulls, Shawn McLaws katika mchezo kirafiki alfajiri ya leo mjini New York, Marekani. Red Bulls, timu ya mwisho Thierry Henry kuchezea ilishinda 4-2, mabao yao yakifungwa na Castellanos dakika ya 51, Adams dakika ya 67, Davis dakika ya 73 na 78, wakati ya Chelsea yalifungwa na Remy dakika ya 26 na Hazard dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: Harry Brook makes a costly error, Australia star goes for
more than £2m as record IPL signing and worst shot of the series
-
OLIVER HOLT IN ADELAIDE: England appear to be heading towards their second
best day of the Ashes so far. Australia suffered a blow before the start of
play.
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment