Lionel Messi akikumbatiana na mchezaji mwenzake wa Barcelona, Xavi Hernandez baada ya kufunga bao la kwanza katika sare ya 2-2 na Deportivo la Coruna katika mchezo wa La Liga wa kumuaga Xavi, anayehamia Al Sadd ya Qatar baada ya miaka 17 ya kufanya kazi Camp Nou tangu 1998. Xavi Hernandez atacheza mechi moja ya mwishi Nou Camp, fainali ya Copa del Rey Mei 30, lakini leo mashabiki 90,000 walimuaga. Mabao ya Barcelona yalifungwa na Lionel Messi, wakati ya Deportivo yamefungwa na Lucas Perez na Diogo Salomao. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
17 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment