Mshambuliaji mkongwe wa Atletico Madrid, Fernando Torres (kushoto) akigombea mpira na kiungo wa Bayer Leverkusen, Roberto Hilbert (kulia) katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku huu nchini Ujerumani. Leverkusen ilishinda 1-0, bao pekee la Hakan Calhanoglu dakika ya 12, ingawa Torres alifunga lililokataliwa zikiwa zimebaki dakika 15. Lakini Atletico inapewa nafasi ya kupindua matokeo hayo katikaa mchezo wa marudiano Vicente Calderon Machi 17 na kwenda Robo Fainali ya michuano hiyo.
Excruciating moment rapper Ja Rule smashes golf ball straight into crowd at
Derek Jeter's charity tournament
-
Remarkable footage, captured from just meters away, shows Ja Rule teeing
off with people surrounding the tee box in the Bahamas.
23 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment