SERENGETI BOYS YAFA 4-0 SOWETO, AMAJIMBOS MBELEEEE
Timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys imefungwa mabao 4-0 na wenyeji Afrika Kusini, Amajimbos jioni ya leo Uwanja wa Dobsonville mjini Soweto, hivyo kutolewa katika kinyang'anyiro cha kuwania tiketi ya fainali za vijana baada ya awali kulazimishwa sare ya bila kufungana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment