AZAM AKADEMI YATINGA ROBO FAINALI ROLLINGSTON, ITAKUTANA NA SIMBA SC
Wachezaji wa Azam FC wakimpongeza mwenzao, Jamil Mchaulu 'Balotelli' baada ya kufunga bao la pili katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Jacky ya Mbagala mchezo wa 16 Bora michuano ya vijana chini ya umri wa miaka 20 ya Rollingston, Uwanja wa Karume, Dar es Salaam mchana wa leo. Mabao mengine ya Azam yamefungwa na Masoud Abdallah na Adam Soba na sasa timu hiyo imetinga Robo Fainali ambako itakutana na Simba SC.
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment