Simba imepigwa mabao 3-1 na Azam FC leo katika Robo Fainali
ya mwisho ya Klabu Bingwa ya soka Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, Uwanja
wa Taifa, Dar es Salaam- lakini unaweza kustaajabu kipigo hicho mashabiki wa Simba
walitabiri kuwapa Azam, ila ajabu kimewageukia wao. Tazama picha hizi za mashabiki
wa Simba na Azam wakitambiana, nani kainua vidole vitatu juu?
Kroupi levels for Bournemouth in eight-goal thriller against Man Utd
-
Bournemouth's Junior Kroupi scores the equaliser in a dramatic 4-4 draw
against Manchester United at Old Trafford, after two quick-fire goals from
United's...
35 minutes ago





.png)
0 comments:
Post a Comment