![]() |
| Nadal |
WACHEZAJI wawili bora wa tenisi
duniani, namba moja na namba mbili, Novak Djokovic na Rafa Nadal, watajaribu
kuweka rekodi katika kwa mahudhurio kwenye mechi ya mchezo huo, wakati
watakapomenyana kwenye Uwanja wa Real Madrid, Bernabeu mwezi Julai, klabu hiyo
imesema leo.
"Gumzo kubwa kwenye ni kuweka
rekodi kwenye mchezo wa tenisi katika Uwanja huu wa kuchukua mashabiki 80,000,"
ilisema taarifa hiyo ya klabu bingwa Ulaya mara tisa.
Mechi hiyo ya hisani
inayotarajiwa kuchezwa Julai 14, imeandaliwa na mfuko wa hisani wa Real Madrid kwa
pamoja na mfuko wa Rafa Nadal.
Mspanyola Nadal ni shabiki
anayefahamika sana wa Real wakati Mserbia, amekuwa mgeni rasmi katika vifaa vya
ya klabu hiyo, na mara moja alivaa jezi ya Real wakati akitembea kabla ya mechi
ya tenisi katika Madrid Masters.
.jpg)


.png)
0 comments:
Post a Comment