MCHEZA kikapu wa Tanzania anayechezea timu ya Houston Rockets ya nchini Marekani, Hasheem Thabeet ametajwa katika orodha ya wachezaji wanaolipwa zaidi barani Afrika. Thabeet katika orodha hiyo anashika nafasi ya 10 akiwa anapata mshahara wa jumla ya Euro 3,960 000 kwa mwaka huku Samuel Eto'o anayechezea klabu ya Anzhi Makhachkala ya Russia akishika nafasi ya kwanza kwa kupata Euro 20,000,000 kwa mwaka. Mchezaji wa Kenya MacDonald Mariga anayecheza nchini Italia yeye anashika nafasi ya 19 akiwa anapata Euro 1,004,000. Pia yupo mchezaji soka wa Burundi, Saidi Ntibazinkiza anayechezea klabu ya Cracovie ya nchini Poland ambaye analipwa kiasi cha Euro 243, 000. Orodha kamili ni kama ifuatavyo: GAZETI LA MWANASPOTI: |
Darts star thrown out of World Championship after failing drugs test
-
Taylor, 27, cruised to a 3-0 win over Oskar Lukasiak on his Alexandra
Palace debut last Sunday and was due to face Jonny Clayton in the second
round of the...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment