• HABARI MPYA

    Tuesday, April 10, 2012

    ABIDAL AMEKULA KISU LEO, AU?

    Abidal
    BEKI wa kimataifa wa Ufaransa nayechezea Barcelona, Eric Abidal alitarajiwa kufanyiwa upasuaji wa ini leo, Msemaji wa klabu hiyo alisema bila kuthibitisha kama upasuaji huo ulifanyika au la.
    "Nathibitisha kwamba upasuaji ulitakiwa kufanyika leo, lakini sifahamu kama umeanza," alisema.
    Barcelona ilitangaza Machi 15, mwaka huu kwamba mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 32 atafanyiwa upasuaji wiki zijazo.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ABIDAL AMEKULA KISU LEO, AU? Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top