Mwanasoka wa kike wa Australia mwenye asili ya Misri, Assmaah Helal akiwa amevalia hijab ya kiislam katika mazoezi mjinji Sydney hivi karibuni (February 23, 2012). Mchezaji huyo ni mzuri, lakini sheria tata ya ya FIFA kuzuia vazi hilo la kiislamu katika soka inamaanisha hawezi kuonyesha kipaj chake na kutimiza ndoto zake kupitia mchezo huo akiwa na jezi ya Australia. Assmah amesema hijab ni sehemu ya utambulisho wa mwanamke wa kiislamu na ameiomba FIFA ifikirie upya suala hilo. AFP PHOTO / Torsten BLACKWOOD
England on brink of quickest Ashes surrender since 1921 as Pat Cummins and
Nathan Lyon put Australia on verge of victory
-
LAWRENCE BOOTH: Set a near-impossible 435 to prevent Australia from going
3-0 with two to play, and retaining the urn that has been theirs since
2017-18, E...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment