John Bocco wa Azam na Hussein Javu wa Mtibwa Sugar, nchi inahitaji kuwekeza kwa wachezaji hawa ili wawe washambuliaji tegemeo wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars. Hawa watu wanahitaji kulishwa vitu vya zaida ambavyo wanakosa sambamba na elimu ya kujitambua, waache ulimbukeni wa kulewa sifa, wawe na malengo ya kufika mbali, ili wajibidiishe zaidi. Ni watu ambao wanaweza kazi na kama taifa litaamua kuwekeza kweli kwa watu hawa, tutakuwa na miaka mitatu ya kushangilia mabao yao. Watu wanaweza kuufanya mpira ukae kwenye eneo la wapinzani. Wana uwezo. Tuwape nafasi na tuwape muda kabla ya kuanza kula matunda yao.
Excruciating moment rapper Ja Rule smashes golf ball straight into crowd at
Derek Jeter's charity tournament
-
Remarkable footage, captured from just meters away, shows Ja Rule teeing
off with people surrounding the tee box in the Bahamas.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment