Kipa wa Yanga Veterans, Manyika Peter akichupa bila mafanikio kuokoa shuti la mpira wa adhabu uliopigwa na kiungo wa Simba Veterans, Shekhan Rashid (hayupo pichani) katika mechi ya jana baina ya wakongwe hao, iliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 1-0. Mechi hiyo ilikuwa ya kuchangia waathirika wa milipuko ya mabomu Gongolamboto
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
18 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment