Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kuisaidia timu hiyo baada ya kurejea kutoka Misri kwenye Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) ambako walitolewa kwenye Raundi ya kwanza tu kufuatia kushika mkia kwenye kundi lao, C kutokana na kufungwa mechi zote tatu, 2-0 na Senegal, 3-2 na Kenya na 3-0 na Algeria.
Bazball has had its soul ripped out and been exposed as a flippant,
disrespectful, unserious attitude to cricket, writes OLIVER HOLT - but
here's why Ben Stokes should NOT quit after Adelaide humiliation
-
OLIVER HOLT IN ADELAIDE: This was the day Jerusalem fell. It will not be
built here. That dream is over. Sunday was really a matter of reading
Bazball the ...
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment