Gabriel Jesus (katikati) na Roberto Firmino (kushoto) wakishangilia baada ya wote kufunga kwenye ushindi wa 2-0 wa Brazil dhidi ya Argentina kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya Copa America Uwanja wa Governador Magalhaes Pinto, Belo Horizonte, Minas Gerais. Jesus alifunga dakika ya 19 na Firmino dakika ya 71 na kila mmoja alimpasia mwenzake kufunga na sasa Brazil itakutana na mshindi kati ya Chile na Peru zinazomenyana usiku wa kuamkia kesho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Female darts star Beau Graves, 21, almost causes HUGE upset at World
Championship - as opponent Daryl Gurney tips her for stardom
-
Female darts star Beau Greaves almost caused an almighty upset against
Daryl Gurney at Alexandra Palace on Friday night.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment