• HABARI MPYA

    Saturday, January 11, 2014

    MESSI ALIPOTAKA KUZIPIGA NA MIJAMAA YA UGANDA JANA...KAMA SI AWADH JUMA KINGENUKA AMAAN

    Winga wa Simba SC, Ramadhani Singano 'Messi'akidhibitiwa na mchezaji mwenzake, Awadh Juma wakati alipotaka kugombana na mchezaji wa URA katika Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi jana Uwanja wa Amaan. Mbinde hilo lilianzia baada ya Messi kuchezewa rafu na Owen Kassule aliyepewa kadi nyekundu, hivyo wachezaji wa URA wakamfuata kumlaani winga wa Wekundu wa Msimbazi kwa kumponza mwenzao kutolewa mchezoni. Simba SC ilishinda 2-0.
    Awadh alifanya kazi nzito kuutuliza mzuka wa Messi
    Na hata alipotenganishwa, alikuwa bado ana hasira
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MESSI ALIPOTAKA KUZIPIGA NA MIJAMAA YA UGANDA JANA...KAMA SI AWADH JUMA KINGENUKA AMAAN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top