• HABARI MPYA

    Friday, June 04, 2021

    NYOTA WA PSG MUARGENTINA MAURO ICARDI ATINGA MBUGA YA SERENGETI KUTALII PAMOJA NA MKEWE

     MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Argentina, Mauro Emanuel Icardi anayechezea Paris Saint-Germain ya Ufaransa akiwa mapumziko katika Hifadhi ya Serengeti nchini Tanzania pamoja na mkewe Wanda Icardi, ambaye pia ni wakala wake.






    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NYOTA WA PSG MUARGENTINA MAURO ICARDI ATINGA MBUGA YA SERENGETI KUTALII PAMOJA NA MKEWE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top