TIMU ya Wolverhampton Wanderers jana imeichapa Arsenal 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Molineux, West Midlands.
Arsenal ilimaliza pungufu baada ya wachezaji wake wawili kutolewa kwa kadi nyekundu, David Luiz dakika ya 45 na ushei na Bernd Leno dakika ya 72, wakati mabao ya Wolves yalifungwa na Ruben Neves kwa penalti dakika ya 45 na ushei na Joao Moutinho dakika ya 49 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment