• HABARI MPYA

    Tuesday, January 05, 2021

    NAMUNGO FC YASONGA MBELE KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA BAADA YA SARE YA 3-3 NA AL HILAL LEO SUDAN

    TIMU ya Namungo FC imefanikiwa kusonga mbele kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika baada ya sare ya 3-3 na wenyeji, na Al Hilal Obayed leo Uwanja wa Al-Hilal mjini Omdurman, Sudan.
    Kwa matokeo hayo Namungo FC inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 5-3 na sasa itamenyana na moja ya timu zitakazotolewa kwenye Ligi ya Mabingwa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho.
    Hongera Namungo FC, kila la heri katika hatua ijayo.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NAMUNGO FC YASONGA MBELE KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA BAADA YA SARE YA 3-3 NA AL HILAL LEO SUDAN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top