• HABARI MPYA

    Sunday, January 10, 2021

    ARSENAL WAICHAPA NEWCASTLE UNITED 2-0 MBELE KOMBE LA FA


    MABINGWA watetezi, Arsenal wametinga Raundi ya Nne ya Kombe la FA England baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Newcastle United katika mchezo uliodumu kwa dakika 120, mabao ya Emile Smith Rowe dakika ya 109 na Nahodha Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 117 Uwanja wa Emirates, London
     

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL WAICHAPA NEWCASTLE UNITED 2-0 MBELE KOMBE LA FA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top