• HABARI MPYA

    Friday, December 11, 2020

    MTIBWA SUGAR YAICHAPA KMC 1-0 NA KUPANDA HADI NAFASI YA TISA KWENYE MSIMAMO WA LIGI


    BAO pekee la kiungo Salum Kihimbwa limeipa ushindi wa 1-0 Mtibwa Sugar dhidi ya KMC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
    Kwa ushindi huo, Mtibwa Sugar inafikisha pointi 19 baada ya kucheza mechi 15 na kupanda nafasi ya tisa kutoka ya 14 kwenye msimamo wa Ligi Kuu, wakati KMC inayobaki na pointi zake 21za mechi 13 sasa inabaki nafasi ya tano.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MTIBWA SUGAR YAICHAPA KMC 1-0 NA KUPANDA HADI NAFASI YA TISA KWENYE MSIMAMO WA LIGI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top