• HABARI MPYA

    Sunday, November 08, 2020

    BRUNO FERNANDES APIGA MBILI MAN UNITED YAICHAPA EVERTON 3-1


    Kiungo Bruno Fernandes (kukia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Manchester United mabao mawili dakika ya 25 na 32 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Eveton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Goodison Park. Bao lingine la Manchester United lilifungwa na Edinson Cavani, wakati la Everton lilifungwa na Bernard dakika ya 19
     

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BRUNO FERNANDES APIGA MBILI MAN UNITED YAICHAPA EVERTON 3-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top