• HABARI MPYA

    Friday, October 02, 2020

    PAPISS CISSE AJIUNGA NA FENERBAHCE KWA DAU LA PAUNI MILIONI 6


    Mshambuliaji Msenegal, Papiss Cisse akiwa ameshika jezi ya Fenerbahce ya Uturuki baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 6 kutoka Newcastle United ya England na ataendelea kulipwa Pauni 40,000 kwa wiki  

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PAPISS CISSE AJIUNGA NA FENERBAHCE KWA DAU LA PAUNI MILIONI 6 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top