BEKI Jose Luis Gaya akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Hispania bao la kusawazisha dakika ya 90 na ushei kufuatia Timo Werner kuwatanguliza wenyeji, Ujerumani dakika ya 51 katika sare ya 1-1 katika mchezo wa Kundi la Nne Ligi ya Mataifa ya Ulaya,usiku wa jana Uwanja wa Mercedes-Benz-Arena Jijini Stuttgart PICHA ZAIDI GONGA HAPA
76ers' Joel Embiid out vs. Grizzlies, Thunder Because of Knee Injury Maintenance
-
Philadelphia 76ers star center Joel Embiid won't be with the team on their
two-game weekend road trip against the Memphis Grizzlies and Oklahoma City
Thund...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment