Gabriel Jesus akipongezwa na wenzake baada ya kuwafungia wenyeji, Manchester City bao la ushindi dakika ya 68 ikiwalaza Real Madrid ya Hispania 2-1 katika mchezo wa marudiano Hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Etihad. Raheem Sterling alianza kuifungia Man City dakika ya tisa kwa pasi ya Gabriel Jesus, kabla ya Karim Benzema kuisawazishia Real dakika ya 28 na kwa matokeo hayo kikosi cha Pep Guardiola kinakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-2 kufuatia awali kushinda 2-1 pia kwenye mchezo wa kwanza Madrid na kitakutana na Olympique Lyon ya Ufaransa iliyoitoa Juventus ya Italia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Amon-Ra St. Brown becomes highest-paid wideout in the NFL with $120M,
four-year extension
-
The extension includes $77million guaranteed, as St. Brown, 24, will now
have to wait until 2029 to become a free agent. His salary ties him with
Hill for ...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment