Romelu Lukaku na Lautaro Martinez wakishangilia pamoja baada ya kila mmoja kufunga mabao mawili katika ushindi wa 5-0 wa Inter Milan dhidi ya Shakhtar Donetsk kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya UEFA Europa League usiku wa Jumatatu Uwanja wa Merkur Spiel-Arena, Jijini Dusseldorf nchini Ujerumani. Martinez alifunga dakika za 19 na 74 na Lukaku dakika za 78 na 83, wakati bao lingine limefungwa na Danilo D'Ambrosio dakika ya 64 na sasa Inter Milan itakutana na Sevilla katika Fainali Ijumaa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ashley Cole names his dream XI made up of ex-Arsenal and Chelsea team-mates
after his Premier League Hall of Fame induction... so who makes the cut
along with Thierry Henry, Frank Lampard and John Terry?
-
The left-back became the 22nd inductee into the Premier League Hall of Fame
this week. He is widely regarded as the best left-back in Premier League
history.
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment