• HABARI MPYA

    Monday, August 10, 2020

    KUINGO MZENJI, FEISAL SALUM 'FEI TOTO' AONGEZA MKATABA WA KUENDELEA NA KAZI YANGA SC

    Kiungo Mzanzibar, Feisal Salum 'Fei Toto' akiwa na Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Yanga SC, Mhandisi Hersi Said baada ya kusaini mkataba mpya wa miaka mitatu kuendelea kuichezea klabu hiyo leo Jijini Dar es Salaam. Fei Toto alikuwa amebakiza mwaka mmoja katika mkataba wake na sasa atakuwa mali ya Yanga kwa miana minne ijayo 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KUINGO MZENJI, FEISAL SALUM 'FEI TOTO' AONGEZA MKATABA WA KUENDELEA NA KAZI YANGA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top