• HABARI MPYA

    Tuesday, August 18, 2020

    IHEFU SC ILIYOPANDA LIGI KUU YASAJILI WAWILI WA TIMU ZA MWANZA ZILIZOSHUKA DARAJA, ALLIANCE NA MBAO FC

    Mshambuliaji Jordan John akikabidhiwa jezi ya Ihefu SC baada ya kusaini mkataba wa kuichezea timu hiyo iliyopanda Ligi Kuu ya Tanzania Bara kutoka Mbao FC ya Mwanza iliyoshuka daraja

    Beki wa kati Wema Sadoki akisaini mkataba wa kuitumikia Ihefu SC iliyopanda Ligi Kuu ya Tanzania Bara kutoka Alliance FC ya Mwanza iliyoshuka daraja
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: IHEFU SC ILIYOPANDA LIGI KUU YASAJILI WAWILI WA TIMU ZA MWANZA ZILIZOSHUKA DARAJA, ALLIANCE NA MBAO FC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top