• HABARI MPYA

    Thursday, August 13, 2020

    BEKI WA THAMANI KUBWA, BAKARI NONDO MWAMNYETO ALIVYOANZA KAZI RASMI YANGA SC LEO

    Beki mpya wa Yanga SC, Bakari Nondo Mwamnyeto akiwa mazoezini leo na timu yake hiyo mpya Jijini Dar es Salaam baada ya kusajiliwa kutoka Coastal Union ya Tanga
    Beki mpya wa Yanga SC, Yassin Mustapha akiwa mazoezini leo na timu yake hiyo mpya Jijini Dar es Salaam baada ya kusajiliwa kutoka Poilisi Tanzania ya Kilimanjaro 
    Beki Abdallah Shaibu 'Ninja' akiwa mazoezini leo na Yanga baada ya kurejea kikosini kufuatia msimu mmoja wa kwenda kucheza Marekani  

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BEKI WA THAMANI KUBWA, BAKARI NONDO MWAMNYETO ALIVYOANZA KAZI RASMI YANGA SC LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top