• HABARI MPYA

    Thursday, July 02, 2020

    SPORTPESA YAWAZAWADIA SIMBA SC SH MILIONI 100 KWA KUTWAA TAJI LA TATUMFULULIZO LIGI KUU

    Wadhamini wakuu wa klabu ya Simba SC, Sport Pesa Tanzania wakiwakabidhi mfano wa hundi ya Shilingi Milioni 100, Nahodha wa klabu hiyo, John Raphael Bocco baada ya kushinda ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa mara ya tatu mfululzo. Fedha hizo zimetolewa kama sehemu ya makubaliano ya mkataba wa udhamini uliosainiwa mwaka 2017 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SPORTPESA YAWAZAWADIA SIMBA SC SH MILIONI 100 KWA KUTWAA TAJI LA TATUMFULULIZO LIGI KUU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top