Son Heung-min akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la ushindi dakika ya 88 kwa penalti ikiilaza 3-2 Southampton na kutinga Raundi ya Tano ya Kombe la FA England Uwanja wa Tottenham Hotspur Jijini London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Jack Stephens aliyejifunga dakika ya 12 na Lucas Moura dakika ya 78, wakati ya Southampton yalifungwa na Shane Long dakika ya 34 na Danny Ings dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal sign Mat Ryan on loan until the end of the season from Brighton
-
The Gunners allowed Matt Macey to join Hibernian earlier in the window and
manager Mikel Arteta has been in the market for competition for Bernd Leno
follo...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment