• HABARI MPYA

    Monday, February 03, 2020

    TOTTENHAM HOTSPUR YAICHABANGA MANCHESTER CITY 2-0

    Son Heung-Min akifurahia baada ya kuifungia bao la pili Tottenham Hotspur dakika ya 71 kufuatia Steven Bergwijn kufunga la kwanza dakika ya 63 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Tottenham Hotspur 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TOTTENHAM HOTSPUR YAICHABANGA MANCHESTER CITY 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top