Kiungo wa Real Madrid, Federico Valverde (kushoto) akisikitka baada ya mshambuliaji Alexander Isak kuifungia Real Sociedad mabao mawili dakika za 54 na 56 katika ushindi wa 4-3 dhidi ya wenyeji kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Hispania usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu Jijini Madrid. Mabao mengine ya Real Sociedad yalifungwa na Martin Odegaard dakika ya 22 na Mikel Merino dakika ya 69, wakati mabao ya Real Madrid yalifungwa na Marcelo dakika ya 59, Rodrygo dakika ya 8 na Nacho dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League to face employment tribunal next month after being accused
of racial discrimination by a former employee... with chief executive
Richard Masters set to be called as a witness
-
EXCLUSIVE BY SAMI MOKBEL: The Premier League will stand accused of racial
discrimination by a former member of their equalities department in court
next mo...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment