Chipukizi wa Liverpool, Neco Williams na Adam Lewis wakishangilia baada ya timu yao kupata bao pekee dakika ya 75, Ro-Shaun Williams akijifunga katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Shrewsbury Town jana Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa marudio Raundi ya Nne Kombe la FA, England kufuatia mchezo wa kwanza kumalizika kwa sare ya 2-2 Januari 26 Uwanja wa Montgomery Waters Meadow PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Christiansen runs London Marathon in memory of aunt
-
Former England midfielder Izzy Christiansen explains why she will be
running Sunday's London Marathon in memory of her aunt.
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment