Mbaraka Yussuf alifanyiwa upasuaji wa goti lake la mguu wa kulia Aprili mwaka jana katika Hospitali ya Vincent Pallotti jijini Cape Town, Afrika Kusini
Na hiyo ni baada ya kubainika amechanika mtulinga wa kati wa goti hilo, kitaalamu Anterior Cruciate Ligament Tear
0 comments:
Post a Comment