Bondia Salim Mtango akipeana mkono na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Kajaliwa viwanja vya Bunge mjini Dodoma leo. Mtango alizuru Bungeni leo kwa ajili ya pongezi baada ya kumshinda Suriya Tatakhun wa Thailand kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya saba Ijumaa iliyopita Uwanja wa Mkwakwani Jijini na kutwaa taji la UBO uzito wa Light. Wengine kushoto ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Harrison Mwakyembe na Naibu wake, Juliana Shonza na kulia ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Ally Mwalimu
Brisbane Lions stars have 'split up with their partners due to what
happened on end-of-season trip to Las Vegas'
-
The Lions went undefeated at the Gabba for the entire 2023 season but have
already lost two home matches this year, leaving fans scratching their
heads ove...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment