Wachezaji wa Barcelona wakiwa hawaamini macho yao baada ya kuchapwa 1-0 na Athletic Bilbao bao pekee la mshambuliaji Mspaniola, Inaki Williams mwenye asili ya Ghana dakika ya 90 na ushei, sekunde chache baada ya Lionel Messi kukosa bao la wazi kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa San Mamés Barria mjini Bilbao, hivyo kutolewa kwenye michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
1 Trade Each NFL Contender Should Consider to Fill Biggest Weakness
-
Three weeks into the 2024 NFL year, and we're starting to shift our
attention from the aftermath of free agency to the draft. But general
managers should…
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment