Mshambuliaji wa timu ya vijana ya wanawake chini ya umri wa miaka 17, Asha Masaka (kushoto) akishangilia na mwenzake, Joyce Meshack (kulia) baada ya kufunga mabao matatu dakika za 13, 17 na 61 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Burund leo Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam kwenye mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania tiketi ya Fainali za Kombe la Dunia 2020 nchini India. Joyce pia alifunga dakika ya 38 na bao lingine la Tanzania limefungwa na Protasia Mbunda dakika ya 45, wakati bao pekee la Burundi limefungwa na Lydia Karenzo dakika ya 75
Care to play for the Barbarians at Twickenham
-
Former England scrum-half Danny Care will make his Barbarians debut against
Fiji at Twickenham in June.
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment