Kiungo wa Real Madrid, Isco akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo bao la pili dakika ya 39 katika mchezo wa Nusu Fainali ya Super Cup ya Hispania katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Valencia usiku wa jana Uwanja wa King Abdullah Sports City Jijini Jeddah, Saudia Arabia. Mabao mengine ya Real Madrid yalifungwa na Toni Kroos dakika ya 15 na Luka Modric dakika ya 65, wakati la Valencia lilifungwa na Dani Parejo kwa penalti dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Harry Kane revels in 'unbelievable win' over Arsenal - rivals of his former
club Tottenham - and reveals what what Bayern Munich said at half-time to
inspire dominant Champions League performance
-
Joshua Kimmich bopped in a header in the second half to send Bayern Munich
roaring into the semi-finals - and Arsenal scurrying back to London
withtheir ta...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment