• HABARI MPYA

    Tuesday, January 14, 2020

    "NYUMBA NI CHOO" WALIVYOTUA KARUME LEO KUWAPA ELIMU YA AFYA WACHEZAJI TANZANITE KUELEKEA MECHI NA UGANDA JUMAPILI

    Wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake chini ya umri wa miaka 20, Tanzanite kwa pamoja na viongozi wao wa benchi la Ufundi wakiwa na wawakilishi wa Nyumba ni Choo waliotembelea kambi yao leo mchana na kutoa elimu ya afya. Tanzanite inajiandaa na mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia U20 dhidi ya Uganda utakaochezwa Jumapili Uwanja wa Taifa Jijin Dar es Salaam.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: "NYUMBA NI CHOO" WALIVYOTUA KARUME LEO KUWAPA ELIMU YA AFYA WACHEZAJI TANZANITE KUELEKEA MECHI NA UGANDA JUMAPILI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top