Wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake chini ya umri wa miaka 20, Tanzanite kwa pamoja na viongozi wao wa benchi la Ufundi wakiwa na wawakilishi wa Nyumba ni Choo waliotembelea kambi yao leo mchana na kutoa elimu ya afya. Tanzanite inajiandaa na mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia U20 dhidi ya Uganda utakaochezwa Jumapili Uwanja wa Taifa Jijin Dar es Salaam.
The FUFA Drum Final 2023: Tickets out, Fans to purchase using MTN MoMoPay
-
MTN Uganda—a sponsor of the FUFA Drum have confirmed that the match tickets
for the FUFA Drum Final between Busoga and Lango on Saturday 23rd March
2024 ...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment