Mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil, Neymar akishangilia baada ya kuifungia Paris St Germain bao la tatu dakika ya 46 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Galatasaray kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris. Mabao mengine ya PSG yalifungwa na Mauro Icardi dakika ya 32, Pablo Sarabia dakika ya 35, Kylian Mbappe dakika ya 63 na Edinson Cavani kwa penalti dakika ya 84. PSG imeongoza kundi kwa pointi zake 16, ikifuatiwa na Real Madrid iliyomaliza na pointi 11 baada ya kuifunga Club Brugge 3-1 na jana na zote zinakwenda 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
UFC chief Dana White feared Calvin Kattar would DIE after taking 'so much f****** punishment'
-
The former 145-pound king landed 445 significant strikes over five rounds
to Kattar's 133 in a brutal but record-breaking win for the 29-year-old
Hawaii na...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment