Mshambuliaji Tammy Abraham akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya tano katika ushindi wa ugenini wa 2-1 dhidi ya Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Vicarage Road. Bao la pili la Chelsea lilifungwa na Christian Pulisic dakika ya 55, kabla ya Gerard Deulofeu kuwafungia wenyeji kwa penalti ya msaada wa Marudio ya Picha za Video (VAR) dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wolves boss Gary O'Neil refuses to criticise Stuart Attwell after coming
under fire AGAIN for disallowing Hwang Hee-chan's goal against Bournemouth
- just days after VAR controversy with Nottingham Forest
-
Wolves boss Gary O'Neil offered his sympathy to referee Stuart Attwell
after the beleaguered match official was embroiled in more controversy in
Bournemout...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment