Mshambuliaji Tammy Abraham akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya tano katika ushindi wa ugenini wa 2-1 dhidi ya Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Vicarage Road. Bao la pili la Chelsea lilifungwa na Christian Pulisic dakika ya 55, kabla ya Gerard Deulofeu kuwafungia wenyeji kwa penalti ya msaada wa Marudio ya Picha za Video (VAR) dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Grand National: Cloth Cap favourite; Denise Foster steps in for Gordon Elliott
-
Denise Foster will step in for Gordon Elliott during the trainer's
suspension while Cloth Cap is now clear 6-1 favourite for next month's
Grand National af...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment