Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Ureno bao la pili dakika ya 86 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Luxembourg kwenye mchezo wa Kundi B kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Josy Barthel mjini Luxembourg, hilo likiwa bao lake la 99 katika mechi za kimataifa. Bao la kwanza la Ureno lilifungwa na Bruno Fernandes dakika ya 39 na kwa ushindi huo mabingwa hao watetezi wanafikisha pointi 17 katika mchezo wa nane wakiendelea kushika nafasi ya pili nyuma ya Ukraine yenye pointi 20, hivyo wote kufuzu fainali zijazo za michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2019 MLB Free Agents: Rumors, Predictions for Anthony Rendon, Madison Bumgarner
-
The MLB free-agent market is already moving at a far more rapid pace than
it did last year, when stars like Bryce Harper and Manny Machado remained
unsigne...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment