Refa Aliaksei Kulbakov wa Belarus akimuonyesha kadi nyekundu kipa wa Manchester City, Claudio Bravo aliyeingia dakika ya 46 kuchukau nafasi ya for Ederson Moraes baada ya kumuangusha Josip Ilicic wa Atalanta dakika ya 81 wakati anakwenda kufunga timu hizo zikitoka sare ya 1-1 katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa wa Giuseppe Meazza mjini Milan. Kyle Walker alikwenda kusimama langoni katika mchezo ambao Raheem Sterling alianza kuifungia Manchester City dakika ya saba kabla ya kiungo anayecheza kwa mkopo kutoka Chelsea, Mario Pasalic kuisawazishia Atalanta dakika ya 49, dakika tu baada ya Gabriel Jesus kukosa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
LeBron James Reacts to Kelly Loeffler Selling WNBA Team to Renee Montgomery
-
Los Angeles Lakers superstar LeBron James reacted to further details about
former Atlanta Dream player Renee Montgomery joining an ownership group to
purch...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment