Mshambuliaji kinda Mbrazil, Rodrygo Silva de Goes akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao matatu dakika ya nne, saba na 90 na ushei katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Galatasaray kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Sergio Ramos kwa penalti dakika ya 14, Karim Benzema dakika ya 45 na 81 na kwa ushindi huo, timu ya kocha Mfaransa Zinadine Zidane inafikisha pointi saba, ikiendelea kushika nafasi ya pili ikizidiwa pointi tano na vinara Paris Saint-Germain baada ya timu zote kucheza mechi nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
MAN UNITED CONFIDENTIAL: Kobbie Mainoo's meteoric rise to be rewarded,
Avram Glazer's awkward answer to Erik ten Hag question - and fans push to
change controversial ticketing rule
-
The England midfielder signed his first professional deal shortly after his
17th birthday in May 2022 and another in February 2023 in keeping with FIFA
reg...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment