WACHEZAJI wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kutoka kulia Innocent Haule, Said Mohamed Babesh na David Mwakalebela wakiteremka Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza kwa ajili ya mchezo wa kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON)1994 dhidi ya Ghana Agosti 15 mwaka 1992. Nyuma ni aliyekuwa mfadhili Abbas Gulamali (marehemu) na Kocha Msaidizi, Salum Madadi katika mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya 2-2
Tottenham Hotspur 1-3 Man Utd: Edinson Cavani scores as visitors fight back
-
Manchester United come from behind to win at Tottenham with Edinson Cavani
scoring a superb diving header.
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment