Wachezaji wa Manchester United wakipongezana baada ya ushindi wa 3-0 dhidi ya Partizan Belgrade mabao ya Mason Greenwood dakika ya 21, Anthony Martial dakika ya 33 na Marcus Rashford dakika ya 49 kwenye mchezo wa Kundi L UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Ushindi huo unaifaanya Man United ifikishe poniti 10 katika mchezo wa nne na kendelea kuongoza kundi hilo ikiizidi AZ pointi mbili huku ikijihakikishia kuingia hatua ya mtoano ya micbuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
James Tedesco under fire with footy fans after blatant trip on Melbourne
Storm fullback Ryan Papenhuyzen - as Roosters star is hit with a feather by
NRL judiciary
-
Roosters star James Tedesco has learnt his fate after appearing to trip
Melbourne Storm fullback Ryan Papenhuyzen on Thursday night at Allianz
Stadium - an...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment