Kyle Walker akikimbia kushangilia baada ya kufunga bao la ushindi dakika ya 86 huku kiungo Pierre-Emile Hojbjerg akivuta bukta yake kwa hasira, Manchester City ikiilaza Southampton 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Southampton ilitangulia kwa bao la James Ward-Prowse dakika ya 13, kabla ya Walker kumsetia Sergio Aguero kufunga bao la kusawazisha dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kieran Hardy ruled out of remaining Six Nations Games with hamstring injury for Wales
-
Hardy, who scored a try during the Triple Crown-clinching 40-24 victory
over England last Saturday, was hurt later in that match. He has been
released from...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment