Kyle Walker akikimbia kushangilia baada ya kufunga bao la ushindi dakika ya 86 huku kiungo Pierre-Emile Hojbjerg akivuta bukta yake kwa hasira, Manchester City ikiilaza Southampton 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Southampton ilitangulia kwa bao la James Ward-Prowse dakika ya 13, kabla ya Walker kumsetia Sergio Aguero kufunga bao la kusawazisha dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Maple Leafs' Auston Matthews on Just Missing 70-Goal NHL Season: 'Wasn't
Meant to Be'
-
Auston Matthews' quest for 70 goals fell short in Wednesday's
regular-season finale against the Tampa Bay Lightning, but the Toronto
Maple Leafs star remai...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment