Kiungo Alex Oxlade-Chamberlain akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Liverpool bao la ushindi dakia ya 53 ikiilaza KRC Genk 2-1 usiku wa jana Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao la kwanza la Liverpool lilifungwa na Georginio Wijnaldum dakika ya 14, wakati la Genk lilifungwa na Mbwana Samatta dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sauce Gardner sparks 'Drake Curse' fears among Jets fans after posting a
picture with the world-famous rapper, before telling supporters 'we good'
in follow-up post
-
Sauce Gardner has sparked fears among Jets fans that the team will fall
victim to the 'Drake Curse' after he posted a picture with the rapper.
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment