James Maddison akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Leicester City dakika ya 75 akimalizia pasi ya Jamie Vardy aliyefunga bao la kwanza dakika ya 68 kwa pasi ya Youri Tielemans kwenye ushindi wa 2-0 dhidi ya Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power kipigo ambacho kinazidi kumuweka katika wakati mgumu kocha Unai Emery PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Browns' Deshaun Watson Remains on Schedule amid Shoulder Injury Rehab, GM
Says
-
After suffering a shoulder injury last November that forced him to miss the
second half of the 2023 season, Deshaun Watson is reportedly on schedule to
mak...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment